Kamera ya Mtaa kwa Mtaa, mchana wa leo imeinasa taswira ya Mama huyu (jina kapuni) akipita juu ya maji yaliyotuama wakati akirejea nyumbani kwake, Kinondoni B Jijini Dar.
daah!!! fangasi nje nje hapo,wakisubiri serikali itakula kwao, kama vipi waandamane.
ReplyDelete