Kamera ya mtaa kwa mtaa blog kwa uhodari na umahiri wake ilitembelea mtaa moja miongoni mwa mitaa changamfuu na kumnasa fundi mabati akiwa ameketi juu ya paa lanyumba aliyo kuwa akishughulika kuweka vilakazz kwenye nyumba hiyo.
yulee akiendelea kutafakari zuri katika ufanisi wake katika fani.
No comments:
Post a Comment