Uhaba wa maji umetanda katika maeneo mengi hapa jijini Dar,sasa hivi kila unakokatisha mambo ni namna hii kuanzia asubuhi mpaka jioni.hii ni kutokana na hitilafu ya mtambo wa kusukuma maji la Ruvu chini.haijafahamika bado mpaka sasa kuwa hali hii itakuwa kwa muda gani.
No comments:
Post a Comment