Meneja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa
Kigoma, Josephat Komba akimuelezea Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Viwanda na
Biashara, Janeth Mbene huduma mbalimbali zitolewazo na NSSF kwenye banda lao
wakati wa maonesho ya wajasiriamali Kanda ya Kati.
Banda la NSSF linavyooneka kwenye maonesho ya Wajasiriamali
wa Kanda ya Kati yanayofanyika
Maofisa wa NSSF walioshiriki Kwenye Maonesho ya
wajasiriamali kanda ya Kati wakiwa na Meneja wa
Daktari wa NSSF akimpima Shinikizo la Damu Afisa Uhusiano
Mwandamizi wa NSSF ,Theopista Muheta wakati wa maonesho ya wajasiriamali kanda
ya kati.
Mmoja ya Washiriki wa Maonesho ya Wajasiliamali Kanda ya kati akipima uzito tayari kupewa Ushauri juu ya uwiano wa uzito wake na urefu (BMI) na Daktari wa NSSF.
Wakazi wa Mkoa wa Kigoma wakipata maelekezo ya Mafao
yatolewayo na NSSF kwa wanachama wa Hiari na wasio wa Hiari.
No comments:
Post a Comment