HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 28, 2012

Pengo lingine lajitokeza kwenye Chama Cha Makapela: Mdau Arnold Kayanda aamua kulikacha


 Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi ndani ya Radio Clouds FM,Arnold Kayanda akiwa pamoja na Mai Waifu wake Anitha Kayanda wakati wakiingia kwenye hafla ya Ndoa yao iliyofanyika usiku wa Kuamkia leo kwenye Viwanja vya Karemjee,jijini Dar es Salaam.
 Bw. Arnold Kayanda na Bi. Anitha Kayanda wakilishana keki.
 Wakikabidhi keki kwa Wazazi.
 Wapambe wakiwa wamevalia mavazi nadhifu kabisaaa.
 wakiingia ukumbini.
 Mdau akiwapokea Maharusi kwa Dansi zitoo......
 Maharusi wakiingia.
 Maharusi na Wapambe waoo..
 Kekizzzz.
 MC Kibonde akiliongoza Jahazi la sherehe hiyoo.
 Maharusi wakikata kekiiKa

7 comments:

  1. Congratulations to the beautfuuuuuuullll couple.

    ReplyDelete
  2. Congratulations. Love, Patience and Lots of Prayers.

    ReplyDelete
  3. HONGEREN SANA, MUNGU AWAONGOZE

    ReplyDelete
  4. hao wapambe wakiume mbona wamevaa kama askari maji?

    ReplyDelete
  5. hongera kayanda...jiko la ukweeeeli. tunaingojea ya mwabulambo wasiwasi...lol

    ReplyDelete
  6. iLIKUWA MZINGA WA SHOW HONGERENI

    ReplyDelete
  7. hongera muwe na baraka tele

    ReplyDelete

Post Bottom Ad